Kiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika mfumo mpya wa umilisi, Vitabu hivi vinaelekeza kikamilifu kufanya mazoezi ya lugha kwa njia ya kufurahisha na kuelimisha. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umitisi wa msingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani.
OUP Kiswahili Dadisi Grade 1 Workbook
KSh383
Description
Reviews (0)
Be the first to review “OUP Kiswahili Dadisi Grade 1 Workbook” Cancel reply
Shipping & Delivery
Reviews
There are no reviews yet.